17 Aprili 2025 - 18:14
Al_Itrah Foundation Dar-es-salaam yatoa zawadi ya Qur'an ya Tarjama ya Kiswahili kwa Sheikh Walid Alhad Omar Kawambia, Sheikh wa Mkoa wa Dar-es-salaam

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Leo hii, 17 April 2025, Al Itrah Foundation , Dar-es-salaam - Tanzania imefanya tukio la heshima lililofanyika kupitia Ofisi za Taasisi hii Jijini Dar-es-salaam, ikiwakilishwa na Bw. Khomeini Ruhullah, ambapo ilimkabidhi Sheikh wa Mkoa wa Dar-es-salaam - Sheikh Walid Alhad Omar Kawambia Qur'an Tukufu yenye Tafsiri ya Kiswahili kwa Kalamu ya Marhumu Sheikh Hassan Ally Mwalupa. Zawadi hii muhimu inatambua uzito wa maarifa, mshikamano wa Kiislamu na kiroho.

Al_Itrah Foundation Dar-es-salaam yatoa zawadi ya Qur'an ya Tarjama ya Kiswahili kwa Sheikh Walid Alhad Omar Kawambia, Sheikh wa Mkoa wa Dar-es-salaam

Your Comment

You are replying to: .
captcha